Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Mji wa Samaria nitaufanya magofu nyikani,shamba ambalo watu watapanda mizabibu.Mawe yaliyoujenga nitayatupa bondeni,na misingi yake nitaichimbuachimbua.

Kusoma sura kamili Mika 1

Mtazamo Mika 1:6 katika mazingira