Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 9:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mtu hajui saa yake itafika lini. Kama vile samaki wanavyonaswa katika wavu kwa bahati mbaya, na kama vile ndege wanavyonaswa katika mtego kwa ghafla, ndivyo wanadamu wanavyonaswa na balaa inapowaangukia bila ya kutazamia.

13. Pia hapa duniani nimeona mfano wa hekima, na ulionekana kwangu kuwa wenye maana sana.

14. Palikuwa na mji mmoja mdogo wenye wakazi wachache. Mfalme mmoja mwenye nguvu akafika, akauzingira na kujiandaa kuushambulia.

Kusoma sura kamili Mhubiri 9