Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 9:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, nimeona kitu kimoja hapa duniani, kwamba wenye mbio hawafaulu katika riadha, wala wenye nguvu hawashindi vita; wenye busara hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo; lakini wakati wa bahati huwapata wote pamoja.

Kusoma sura kamili Mhubiri 9

Mtazamo Mhubiri 9:11 katika mazingira