Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 8:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mimi nasisitiza kuwa mtu ni lazima afaidi raha, kwa kuwa hapa duniani hakuna kilicho kizuri zaidi kuliko kula na kunywa na kujifurahisha. Hayo ndio awezayo kufanya mtu anaposhughulika na kazi katika muda wa maisha yake aliyojaliwa na Mungu duniani.

Kusoma sura kamili Mhubiri 8

Mtazamo Mhubiri 8:15 katika mazingira