Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu humjalia mtu utajiri, mali na heshima, asitindikiwe kitu chochote anachotamani, lakini hampi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo; badala yake, mgeni fulani atavifaidi. Hilo nalo ni bure kabisa; ni jambo la mateso makali.

Kusoma sura kamili Mhubiri 6

Mtazamo Mhubiri 6:2 katika mazingira