Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Nani ajuaye yamfaayo mtu katika maisha haya mafupi yasiyo na faida, maisha ambayo hupita kama kivuli? Nani duniani ajuaye yatakayompata mtu baada ya kufa?

Kusoma sura kamili Mhubiri 6

Mtazamo Mhubiri 6:12 katika mazingira