Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu.

Kusoma sura kamili Mhubiri 5

Mtazamo Mhubiri 5:19 katika mazingira