Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 5:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, haya ndiyo niliyogundua: Jambo zuri na la kufaa kwa binadamu ni kula, kunywa na kufurahia matunda ya jasho analotoa katika kazi anayoifanya hapa duniani, siku hizo chache za maisha aliyojaliwa na Mungu, maana hivyo ndivyo alivyopangiwa.

Kusoma sura kamili Mhubiri 5

Mtazamo Mhubiri 5:18 katika mazingira