Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 4:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilimwona mtu mmoja asiye na mwana wala ndugu; hata hivyo, haachi kufanya kazi; hatosheki kamwe na mali yake; wala hatulii na kujiuliza: “Ninamfanyia nani kazi na kujinyima starehe?” Hilo nalo ni bure kabisa; ni shughuli inayosikitisha.

Kusoma sura kamili Mhubiri 4

Mtazamo Mhubiri 4:8 katika mazingira