Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 25:26-28 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Mwadilifu akubaliye kufuata mambo ya mwovu,ni chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichotibuliwa.

27. Si vizuri kula asali nyingi mno;kadhalika haifai kujipendekeza mno.

28. Mtu asiyeweza kuzuia hasira yake,ni kama mji usio na ulinzi unaposhambuliwa.

Kusoma sura kamili Methali 25