26. Mwadilifu akubaliye kufuata mambo ya mwovu,ni chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichotibuliwa.
27. Si vizuri kula asali nyingi mno;kadhalika haifai kujipendekeza mno.
28. Mtu asiyeweza kuzuia hasira yake,ni kama mji usio na ulinzi unaposhambuliwa.