Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 23:25-28 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Wafurahishe baba na mama yako;mama aliyekuzaa na afurahi.

26. Mwanangu, nisikilize kwa makini,shikilia mwenendo wa maisha yangu.

27. Malaya ni shimo refu la kutega watu;mwanamke mgeni ni kama kisima chembamba.

28. Yeye hunyemelea kama mnyanganyi,husababisha wanaume wengi kukosa uaminifu.

Kusoma sura kamili Methali 23