25. Wafurahishe baba na mama yako;mama aliyekuzaa na afurahi.
26. Mwanangu, nisikilize kwa makini,shikilia mwenendo wa maisha yangu.
27. Malaya ni shimo refu la kutega watu;mwanamke mgeni ni kama kisima chembamba.
28. Yeye hunyemelea kama mnyanganyi,husababisha wanaume wengi kukosa uaminifu.