1. Ukiketi kula pamoja na mtawala,usisahau hata kidogo uko pamoja na nani.
2. Zuia sana hamu yako,ikiwa wewe wapenda sana kula.
3. Usitamani vyakula vyake vizuri,maana vyaweza kukudanganya.
4. Ikiwa unayo hekima ya kutosha,usijitaabishe kutafuta utajiri.
5. Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,huwa kama umepata mabawa ghafla,ukaruka na kutowekea angani kama tai.