19. Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi,lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.
20. Wenye nia mbaya ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu,lakini wenye mwenendo mwema ni furaha yake.
21. Hakika mwovu hataepa kuadhibiwa,lakini waadilifu wataokolewa.
22. Mwanamke mzuri asiye na akili,ni kama pete ya dhahabu puani mwa nguruwe.