Agano la Kale

Agano Jipya

Maombolezo 5:2-5 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Nchi yetu imekabidhiwa wageni,nyumba zetu watu wengine.

3. Tumekuwa yatima, bila baba,mama zetu wameachwa kama wajane.

4. Maji yetu tunayapata kwa fedha,kuni zetu kwa kuzinunua.

5. Tunalazimishwa kufanya kazi kama punda,tumechoka lakini haturuhusiwi kupumzika.

Kusoma sura kamili Maombolezo 5