Agano la Kale

Agano Jipya

Maombolezo 5:10-13 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Ngozi zetu zawaka moto kama tanurikwa sababu ya njaa inayotuchoma.

11. Wanawake wetu wanashikwa kwa nguvu mjini Siyoni,binti zetu katika vijiji vya Yuda.

12. Wakuu wetu wametungikwa kwa mikono yao;wazee wetu hawapewi heshima yoyote.

13. Vijana wanalazimishwa kusaga nafaka kwa mawe,wavulana wanayumbayumba kwa mizigo ya kuni.

Kusoma sura kamili Maombolezo 5