10. Ngozi zetu zawaka moto kama tanurikwa sababu ya njaa inayotuchoma.
11. Wanawake wetu wanashikwa kwa nguvu mjini Siyoni,binti zetu katika vijiji vya Yuda.
12. Wakuu wetu wametungikwa kwa mikono yao;wazee wetu hawapewi heshima yoyote.
13. Vijana wanalazimishwa kusaga nafaka kwa mawe,wavulana wanayumbayumba kwa mizigo ya kuni.