Agano la Kale

Agano Jipya

Malaki 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnauliza, “Mbona sasa hazikubali?” Mwenyezi-Mungu hazikubali kwa sababu anajua wazi kuwa umeivunja ahadi yako kwa mke wa ujana wako. Umekosa uaminifu kwake ingawa uliahidi mbele ya Mungu kwamba ungekuwa mwaminifu kwake.

Kusoma sura kamili Malaki 2

Mtazamo Malaki 2:14 katika mazingira