Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 5:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Farao akawauliza, “Ni nani huyo Mwenyezi-Mungu, hata nimsikilize na kuwaacha Waisraeli waondoke? Mimi simtambui huyo Mwenyezi-Mungu, wala sitawaruhusu Waisraeli waondoke.”

Kusoma sura kamili Kutoka 5

Mtazamo Kutoka 5:2 katika mazingira