Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 49:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Wakati wa kufaa nilikujibu ombi lako;wakati wa wokovu nilikusaidia.Nimekuweka na kukufanyauwe kiungo cha agano langu na mataifa yote:Kuirekebisha nchi iliyoharibika,na kuwarudishia wenyewe ardhi hiyo;

Kusoma sura kamili Isaya 49

Mtazamo Isaya 49:8 katika mazingira