Mataifa yote na yakusanyike,watu wote na wakutane pamoja.Nani kati ya miungu yao awezaye kutangaza yatakayotukia?Nani awezaye kutuonesha yanayotukia sasa?Wawalete mashahidi waokuthibitisha kwamba walifanya hivyo.Waache wasikilize na kusema, “Ilikuwa kweli.”