Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Nyinyi Waisraeli ni mashahidi wangu;niliwachagua muwe watumishi wangu,mpate kunijua na kuniamini,kwamba ndimi peke yangu Mungu.Kabla yangu hajapata kuwapo mungu mwingine,wala hatakuwapo mungu mwingine.