Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 40:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mungu wenu asema:“Wafarijini watu wangu,nendeni mkawafariji.

2. Semeni na wenyeji wa Yerusalemu kwa upole,waambieni kwamba utumwa wao umekwisha,wamesamehewa uovu wao.Mwenyezi-Mungu amewaadhibu maradufukwa sababu ya dhambi zao zote.”

3. Sauti ya mtu anaita jangwani:“Mtayarishieni Mwenyezi-Mungu njia,nyosheni barabara kuu kwa ajili ya Mungu wetu.

Kusoma sura kamili Isaya 40