Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 2:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno alilopewa Isaya, mwana wa Amozi, kuhusu Yuda na Yerusalemu.

2. Siku zijazo mlima wa nyumba ya Mwenyezi-Munguutaimarishwa kupita milima yote,utainuliwa juu ya vilima vyote.Mataifa yote yatamiminika huko,

3. watu wengi wataujia na kusema,“Njoni tupande mlima wa Mwenyezi-Mungu,twende nyumbani kwa Mungu wa Yakobo,apate kutufundisha njia zake,nasi tuishi kadiri ya mwongozo wake.Maana sheria itakuja kutoka Siyoni;neno la Mwenyezi-Mungu kutoka Yerusalemu.”

Kusoma sura kamili Isaya 2