1. Neno alilopewa Isaya, mwana wa Amozi, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2. Siku zijazo mlima wa nyumba ya Mwenyezi-Munguutaimarishwa kupita milima yote,utainuliwa juu ya vilima vyote.Mataifa yote yatamiminika huko,
3. watu wengi wataujia na kusema,“Njoni tupande mlima wa Mwenyezi-Mungu,twende nyumbani kwa Mungu wa Yakobo,apate kutufundisha njia zake,nasi tuishi kadiri ya mwongozo wake.Maana sheria itakuja kutoka Siyoni;neno la Mwenyezi-Mungu kutoka Yerusalemu.”