Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 12:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Mtachota maji kwa furahakutoka visima vya wokovu.

4. Siku hiyo mtasema:“Mshukuruni Mwenyezi-Mungumwombeni kwa jina lake.Yajulisheni mataifa matendo yake,tangazeni kuwa jina lake limetukuka.

5. Mwimbieni Mwenyezi-Mungu sifakwa kuwa ametenda mambo makuu;haya na yajulikane duniani kote.

6. Pazeni sauti na kuimba kwa furaha,enyi wakazi wa Siyoni,maana aliye mkuu miongoni mwenundiye Mungu, Mtakatifu wa Israeli.”

Kusoma sura kamili Isaya 12