Mwenyezi-Mungu asema:“Nilipowakuta Waisraeliwalikuwa kama zabibu jangwani.Nilipowaona wazee wenuwalikuwa bora kama tini za kwanza.Lakini mara walipofika huko Baal-peori,walijiweka wakfu kuabudu chukizo Baali,wakawa chukizo kama hicho walichokipenda.