Agano la Kale

Agano Jipya

Hosea 6:10-11 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Nimeona jambo la kuchukiza sanamiongoni mwa Waisraeli:Watu wa Efraimu wanakimbilia miungu minginenaam, Waisraeli wamejitia unajisi.

11. Nawe Yuda hali kadhalika,nimekupangia wakati utakapovuna adhabu.

Kusoma sura kamili Hosea 6