Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 19:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu aliye safi atayazoa majivu ya ng'ombe huyo na kuyapeleka mahali safi nje ya kambi. Yatahifadhiwa na kutumiwa na jumuiya nzima ya Israeli kutengeneza maji ya kuondoa najisi, ili kuondoa dhambi.

Kusoma sura kamili Hesabu 19

Mtazamo Hesabu 19:9 katika mazingira