Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 18:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kati ya vitu vitakatifu kabisa ambavyo haviteketezwi motoni, hivi vitakuwa vyenu: Sadaka za nafaka, sadaka za kuondoa dhambi na sadaka za hatia. Kila kitu watu watakachonitolea kama tambiko takatifu kitakuwa chako na wanao.

Kusoma sura kamili Hesabu 18

Mtazamo Hesabu 18:9 katika mazingira