Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Miongoni mwa Waisraeli kulikuwa na kundi fulani lililoandamana nao ambalo lilikuwa na hamu kubwa. Waisraeli kwa mara nyingine walilia, wakisema. “Laiti kama tungeweza kupata nyama ya kula!

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:4 katika mazingira