Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 11:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Mwenyezi-Mungu akashuka katika wingu na kuzungumza naye. Halafu akatwaa sehemu ya roho aliyokuwa amempa Mose, akawapa kila mmoja wa wale wazee sabini. Walipoingiwa na roho hiyo, wazee hao walianza kutoa unabii, lakini hawakurudia kufanya hivyo.

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:25 katika mazingira