Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 10:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose alimwambia shemeji yake, Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwe wake, “Sisi tunasafiri kwenda mahali ambapo Mwenyezi-Mungu amesema ‘Nitawapa nyinyi mahali hapo’. Basi, twende pamoja, nasi tutakutendea mema; maana Mwenyezi-Mungu ameahidi kutupa sisi Waisraeli fanaka.”

Kusoma sura kamili Hesabu 10

Mtazamo Hesabu 10:29 katika mazingira