Agano la Kale

Agano Jipya

Habakuki 3:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Hata kama mitini isipochanua maua,wala mizabibu kuzaa zabibu;hata kama mizeituni isipozaa zeituni,na mashamba yasipotoa chakula;hata kama kondoo wakitoweka zizini,na mifugo kukosekana mazizini,

18. mimi nitaendelea kumfurahia Mwenyezi-Mungunitamshangilia Mungu anayeniokoa.

19. Bwana, Mwenyezi-Mungu ndiye nguvu yangu,huiimarisha miguu yangu kama ya paa,huniwezesha kupita juu milimani.

Kusoma sura kamili Habakuki 3