Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 3:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliijenga madhabahu hiyo mahali palepale ilipokuwa hapo zamani, kwa kuwa waliwaogopa watu waliokuwa wanaishi katika nchi hiyo. Kisha wakawa wanamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka za kuteketezwa juu yake kila siku asubuhi na jioni.

Kusoma sura kamili Ezra 3

Mtazamo Ezra 3:3 katika mazingira