Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 3:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeshua, mwana wa Yosadaki, pamoja na makuhani wenzake, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, pamoja na jamaa zake, waliijenga upya madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili waweze kumtolea sadaka za kuteketezwa kama ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, mtu wa Mungu.

Kusoma sura kamili Ezra 3

Mtazamo Ezra 3:2 katika mazingira