Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:70 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, makuhani, Walawi na baadhi ya watu wengine wakaanza kuishi mjini Yerusalemu na katika vitongoji vyake. Nao waimbaji, walinzi wa hekalu na watumishi wa hekalu wakaanza kuishi katika miji yao; Waisraeli wote waliishi katika miji yao.

Kusoma sura kamili Ezra 2

Mtazamo Ezra 2:70 katika mazingira