Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:19-23 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Hao waliahidi kuwaacha wake zao, na wakatoa kondoo dume kuwa sadaka kwa ajili ya hatia yao.

20. Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

21. Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.

22. Ukoo wa Pashuri: Eliehoenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

23. Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Kusoma sura kamili Ezra 10