Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hii ndiyo orodha ya wanaume waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni: Makuhani kulingana na koo zao: Ukoo wa Yeshua, mwana wa Yehosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.

Kusoma sura kamili Ezra 10

Mtazamo Ezra 10:18 katika mazingira