Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 8:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu akaniambia, “Wewe mtu, je umeyaona mambo hayo? Hata hivyo, watu wa Yuda wanaona machukizo hayo kuwa ni kidogo. Wanaijaza nchi dhuluma na kuzidi kunikasirisha. Angalia jinsi wamekaa hapo, wananiudhi kupita kiasi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 8

Mtazamo Ezekieli 8:17 katika mazingira