Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akanipeleka mpaka ua wa ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko mlangoni mwa hekalu, kati ya ukumbi na madhabahu, walikuwapo wanaume wapatao ishirini na watano, wakilipa kisogo hekalu, na nyuso zao zimeelekea upande wa mashariki. Walikuwa wanaabudu jua wakielekea upande wa mashariki.

Kusoma sura kamili Ezekieli 8

Mtazamo Ezekieli 8:16 katika mazingira