Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 46:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Toka nje, mtawala ataingia ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la ukumbi huo. Naye atasimama karibu na nguzo ya lango, wakati makuhani wanateketeza sadaka zake za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha mtawala huyo atasujudia kwenye lango na baadaye atatoka nje. Lango litabaki wazi hadi jioni.

Kusoma sura kamili Ezekieli 46

Mtazamo Ezekieli 46:2 katika mazingira