Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 46:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtawala anapotaka kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka kwa hiari, iwe sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, watamfungulia lango la ukumbi wa ndani unaoelekea mashariki. Atatoa sadaka kama anavyofanya siku ya sabato, na anapotoka, lango lifungwe nyuma yake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 46

Mtazamo Ezekieli 46:12 katika mazingira