Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 42:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mtu akaniambia, “Vyumba hivi vyote ni vitakatifu. Ndani ya vyumba hivi makuhani wanaoingia mbele ya Mwenyezi-Mungu, wanakula sadaka takatifu kabisa: Tambiko takatifu kabisa na humo ndimo mnamowekwa sadaka za nafaka, sadaka za kuondoa dhambi na sadaka za kuondoa hatia kwa kuwa mahali hapo ni patakatifu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 42

Mtazamo Ezekieli 42:13 katika mazingira