Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 40:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na vyumba vya walinzi kila upande wa nafasi ya kupitia na kila kimoja kilikuwa cha mraba: Urefu mita 3 upana mita 3. Kuta zilizotenganisha vyumba hivyo zilikuwa na unene mita 2.5. Kulikuwa na ukumbi mrefu wa mita 3 ambao ulielekea kwenye chumba kikubwa mkabala na hekalu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:7 katika mazingira