Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 37:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wewe utawajibu, Bwana Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nitakitwaa kijiti cha Yosefu (kilichomo mkononi mwa Efraimu) na makabila ya Israeli yanayounganika naye, nami nitakishikamanisha na kijiti cha Yuda ili vijiti hivyo viwili vifanywe kijiti kimoja mkononi mwangu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 37

Mtazamo Ezekieli 37:19 katika mazingira