Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 33:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini kama yule mlinzi akiona adui wanakuja asipige tarumbeta na watu wakawa hawakuonywa juu ya hatari inayokuja, maadui wakaja na kumuua mtu yeyote miongoni mwao; huyo mtu aliyekufa, atakuwa amekufa kwa kosa lake. Lakini mimi nitamdai mlinzi kifo cha mtu huyo.

Kusoma sura kamili Ezekieli 33

Mtazamo Ezekieli 33:6 katika mazingira