Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 33:12 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi, ewe mtu, waambie wananchi wenzako hivi: Mtu mwadilifu akitenda uovu, uadilifu wake hautamwokoa. Na mtu mwovu akiacha kutenda dhambi hataadhibiwa. Mtu mwadilifu akianza kutenda dhambi uadilifu wake hautamsalimisha.

Kusoma sura kamili Ezekieli 33

Mtazamo Ezekieli 33:12 katika mazingira