Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 33:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, waambie: Kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu naapa kwamba, mimi sikifurahii kifo cha mtu mwovu, bali napenda mtu mwovu aachane na mwenendo wake mbaya, apate kuishi. Tubuni, achaneni na mwenendo wenu mbaya, enyi Waisraeli! Kwa nini mwataka kufa?

Kusoma sura kamili Ezekieli 33

Mtazamo Ezekieli 33:11 katika mazingira