Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 29:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitampa Nebukadneza mfalme wa Babuloni, nchi ya Misri. Ataipora mali yake yote, na kuchukua utajiri wa Misri kuwa ujira wa jeshi lake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 29

Mtazamo Ezekieli 29:19 katika mazingira