Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 29:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Wewe mtu! Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, alilipa jeshi lake jukumu gumu la kuishambulia Tiro. Vichwa vyote vya wanajeshi wake vilipata upara na mabega yote yalichubuka. Lakini yeye, wala jeshi lake, hawakuambulia chochote kutokana na uvamizi huo alioufanya dhidi ya Tiro.

Kusoma sura kamili Ezekieli 29

Mtazamo Ezekieli 29:18 katika mazingira