Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 27:1-10 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

2. “Sasa ewe mtu, imba utenzi huu wa maombolezo juu ya mji wa Tiro,

3. mji ule kando ya bahari, unaofanya biashara na mataifa ya pwani. Uambie: Bwana Mwenyezi-Mungu asema hivi:Ewe Tiro, wewe umejigambau mzuri kwelikweli!

4. Mipaka yako imeenea kwelikweli!Umejengwa kama meli nzuri.

5. Wajenzi wako walitumia misonobari kutoka Senirikupasua mbao zako zote;walichukua mierezi kutoka Lebanonikukutengenezea mlingoti.

6. Walichukua mialoni toka Bashaniwakakuchongea makasia yako;walikitengenezea silahakwa misonobari ya kisiwa cha Kupro,na kuipamba kwa pembe.

7. Kitani kilichotariziwa kutoka Misrikilikuwa kwa kupamba tanga lakona kwa ajili ya bendera yako.Chandarua chako kilitengenezwakwa rangi ya samawati na urujuanikutoka visiwa vya Elisha.

8. Watu wa Sidoni na Arvadiwalikuwa wapiga makasia wako.Wenye hekima wako walikuwa ndaniwakifanya kazi kama wanamaji.

9. Wazee wa Gebali na mafundi waowalikuwa kwako kuziba nyufa zako.Mabaharia waliokuwa wakipitia kwakowalifanya biashara nawe.

10. Watu kutoka Persia, Ludi na Putiwalijiunga katika jeshi lako;walirundika kwenye kambi zao za jeshingao zao na kofia zao.Wanajeshi hao walikupatia fahari.

Kusoma sura kamili Ezekieli 27