Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini nilijizuia kufanya hivyo kwa heshima ya jina langu ili lisidharauliwe kati ya watu wa mataifa wanaoishi nao, hao walioona nikijijulisha kwa Waisraeli wakati wa kuwatoa katika nchi ya Misri.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:9 katika mazingira